Thursday, August 18, 2011

....GHADDAFI CHAMELEONE.....ARUDI KUWA MKRISTO...!



Jaffar Ghaddafi muite tena Jose Chameleone,coz amefunguka na kuvunja ukimya baada ya siku 6 tangu abadili dini na kuwa muislamu....hatimaye amerudi kwenye dini yake ya awali,aliyozaliwa na kulelewa na familia yake Mkristo wa Roman Catholic
Nilihudhuria sala ya Ijumaa na mke wangu Daniella alikua anajua,ili niwe karibu na mungu,lakini ilipokelewa kwa hisia tofauti na kushangaa jinsi alivyopokelewa msikitini hapo na kuishia kutoa shahada,neno ambalo linamtambulisha mtu aliyeigia kwenye dini ya kiislam na kuahidi kuamua kurudi kwenye dini yake ya zamani...alifunguka pande za home kwake Seguku,Entebbe Road-Uganda akiongea na waandishi wa habari....
Alifunguka zaidi “Bado anampenda Daniella na wala sijaachana nae wala siwezi kuishi bila yeye na kukiri aliishi kwa shida siku hizo 6 za kwa sasa amerudi kwenye dini yake ili aelewane na familia yake na wakwe zake pande za home kwake Seguku,Entebbe Road-Uganda
Pia Sheikh Ghaddafi alionesha simu yake alipokua anampigia mke wake Daniella na kuzichunia...na kubadili caller tune yake iliyokua na nyimbo ya Chameleone na kuweka ya Judith Babirye track ya Mukama Wanjagala na Chameleone alikua kwenye pressure kubwa toka kwa dingi yake,Mzee Mayanja,Mashangazi na dingi alifunguka kuwa hamtambui Jaffar Gadaffi....ila ataongea na Joseph Mayanja
....Na Jumapili hii atahudhuria kanisani ambapo alifunga ndoa na Daniella,Mutunga Binna Church na mwisho alimalizia kwa kusema...."MY FAMILY IS SO IMPORTANT,I LOVE MY GOD BUT THIS THING OF CONVERTING AND LEAVING ALL MY FAMILY IN A MESS,STILL IT WON'T PLEASE MY GOD"

Rushing Things? Amber Rose Says She's Definitely Marrying Wiz Khalifa & Is Ready To Have Babies



Wiz Khalifa and Amber Rose don't try to hide the fact that they're in love with each other. They seem to be inseparable. Marriage appears to be the next logical step and Rose is ready for it.

She told Global Grind that the two will definitely be getting married and having kids sooner than later.

"I want to be a mom really bad," Rose said. "I really want babies. I’ll be 28 in October and my maternal instinct is ready. We’re definitely going to get married and have babies. Not right now because we’re still busy and we still want to enjoy each other first. We want to go on vacation, travel and just enjoy each other company, but he’s definitely the one. We’re definitely going to lay it down and get it done."

Do you think Wiz should marry Amber?

AY FT LAMYIA & ROMEO - SPEAK WITH YA BODY (Official Video HQ)

Friday, August 12, 2011

Lil Wayne - Tha Carter IV [Official Tracklisting]




Lil Wayne's highly anticipated 'Tha Carter IV' album finally hits stores August 29.

Both the regular and deluxe edition covers were revealed a while ago, now here's the official tracklist. There are some interesting features on the disc, including John Legend, Tech N9ne, T-Pain, and Jadakiss.

Standard Edition

1. “Intro”
2. “Blunt Blowin’”
3. “MegaMan”
4. “6 Foot 7 Foot” feat. Cory Gunz
5. “Nightmares of the Bottom”
6. “She Will” feat. Drake
7. “How to Hate” feat. T-Pain
8. “Interlude” feat. Tech N9ne
9. “John” feat. Rick Ross
10. “Abortion”
11. “So Special” feat. John Legend
12. “How to Love”
13. “President Carter”
14. “It’s Good” feat. Drake and Jadakiss
15. “Outro” feat. Bun B, Nas, Shyne, & Busta Rhymes

Deluxe Edition

16. “I Like the View”
17. “Mirror”
18. “Two Shots”

Shocking scenes of the Manchester Riots 2011


Jay-Z & Kanye West - Otis


Jay-Z & Kanye West - Otis [Official Music Video]


Video After The Jump

Jay-Z and Kanye West are doing everything backwards with their new cd 'The Throne' and it's working out perfectly.

Check out the official video for "Otis."

Tuesday, August 9, 2011

FORM 1960 TILL NOW! TZ A FREE STATE!

Mama Maria
Rais Jakaya Kikwete na mwenyeji wake Rais Yoweri Museveni wa Uganda, wakiagana na mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere, muda mfupi baada ya kumalizika kwa misa maalumu ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. ili atangazwe kuwa mwenye heri, misa iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Mashahidi wa Uganda lililopo Namugongo, nje kidogo ya mji wa Kampala jana. Wa pili kushoto ni Askofu msaidizi wa Jimbo la Katoliki la Bukoba Methodius Kilaini. Picha na Ikulu  

Mr Blue - Tila Lila

Nuru Feat. Mr. Chocolate Flavour - Muhogo Andazi

Diamond - Moyo Wangu (Official Video)

.Ali Kiba - ‪Dushelele (Official Video).

Diamond - Moyo Wangu (Official Video)

CLUB CONTINENTAL KANGA MOJA NDEMBENDEMBE KANGA INAVYOVALIWAAA, LAKIS PES...

Thursday, August 4, 2011

SIJUI TICHA ALITUMIA MBINU GANI? IS THIS WHAT WE FREE EDUCATION?

Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Bungo ya mkoani Morogoro,akisimamia mtihani leo asubuhi.
...Wanafunzi wakiendelea na mtihani huo.
NA STREET MESSAYAH/UNTOUCHABLE
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Bungo ya mkoani Morogoro, leo asubuhi walinaswa na mtandao huu wakiwa wametapakaa kwenye uwanja wa mpira wakifanya mtihani huku wakiwa chini ya uangalizi mkali wa mwalimu wao.

Alipohojiwa na mwanidshi wa mtando huu juu ya wanafunzi hao kufanya mtihani kwenye uwanja huo, mwalimu aliyejitambulisha kwa jina moja la Mazinda, alisema uongozi wa shule hiyo uliwapeleka wanafunzi hao kufanya mtihani huo uwanjani hapo kwa lengo la kuwapa nafasi ili wasiangaliane majibu.

"Tumeamua wafanye mtihani huu wa majaribio hapa kiwanjani kwa lengo la kuwapa uhuru zaidi kwani pale darasani huwa wanabanana, lakini sambamba na hilo, hali hii itasadia kwa wale wanafunzi wenye tabia ya kunakiri majibu kutoka kwa wenzao washindwe kufanya hivyo," alisema mwalimu huyo kwa kujiamini.

Hata hivyo, mwandishi wetu alishuhudia wanafunzi hao wakifanya mtihani huo kwa shida kubwa kwani walilazimika kuinama kwa muda wote wakiwa hapo.