JENNIFER LOPEZ...MARK ANTHONY....WAACHANA...!
Artist Jennifer Lopez aka J-Lo ametangaza kuachana na mume wake ambaye ni mwanamuziki na actor,Marc Anthony baada ya miaka saba ya ndoa

MARC ANTHONY
Wote walifunguka kuwa uamuzi wa kutengana ni mgumu,na wenye kuumiza na kila mmoja anaheshimu na kukubaliana na maamuzi hayo....

JENNIFER LOPEZ vs MARK ANTHONY
J Lo na Marc Anthony walioana June 2004 pande za Beverly Hills na kwa pamoja wamezaa twins wenye miaka 3,Max na Emme waliozaliwa February 2008,Na ndoa hii ilikua ni ya 3 kwa Jennifer Lopez na ya 2 kwa Mark Anthony mwenye miaka 42 ambaye aliuza records zaidi ya milioni 11 huku Jennifer Lopez akianza muziki mwaka 1999 akitamba na hit single yake If You Had My Love
No comments:
Post a Comment