Friday, July 15, 2011

MSANII JOSE MARA ATIMIZA MIAKA 4 YA NDOA YAKE

Wazungu ndio wanaita Anniversary..
Yes Leo Mimi na Mke wangu Tumegonga Mwaka wa nne Toka Tulipofunga Ndoa.

Ni safari Ndefu isiyokuwa na kikomo, na leo ni kumbukumbu ya ndoa yetu Mke wangu upendo na uvumilivu ulionionyesha kwa kipindi hiki chote sina cha kusema zaidi ya shukrani, Mungu Atubariki sisi na Familia yetu. Nakupenda Zaidi na Nitaendelea kukupenda na kukujali Hadi Mwisho wa Maisha yangu duniani.
 
Mcheki hapa Jose Mara

No comments:

Post a Comment